Mkuu wa Idara ya Uuguzi wa Taasisis ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Flora Kimaro (kushoto) akipongezwa na mumewe Anderson Kimaro baada ya kutunukiwa stashahada ya juu ya sayansi na uuuguzi wakati wa mahafari ya 3 ya Chuo Kikuu cha St John, Dodoma mwishoni mwa wiki.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Flora akipongezwa na mwanawe George
Flora akipongezwa na mmoja wa wanawe wa kike
Ni furaha tupu siku hiyo
Flora akiwa katika picha ya pmoja na familia yake
Meneja wa kinywaji cha Redds cha Kampuni ya Bia Tanzania, Vick Kimaro (kushoto) ambaye ni mwanawe na Flora akiwa na ndungu zake
Flora akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wenzie aliomaliza nao chuo
Flora akipongezwa na mwanawe George
Flora akipongezwa na mmoja wa wanawe wa kike
Ni furaha tupu siku hiyo
Flora akiwa katika picha ya pmoja na familia yake
Meneja wa kinywaji cha Redds cha Kampuni ya Bia Tanzania, Vick Kimaro (kushoto) ambaye ni mwanawe na Flora akiwa na ndungu zake
Flora akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wenzie aliomaliza nao chuo
Comments