FLORA KIMARO ATUNUKIWA 'NONDOS'

 Mkuu wa Idara ya Uuguzi wa Taasisis ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Flora Kimaro (kushoto) akipongezwa na mumewe Anderson Kimaro baada ya kutunukiwa stashahada ya juu ya sayansi na uuuguzi wakati wa mahafari ya 3 ya Chuo Kikuu cha St John, Dodoma mwishoni mwa wiki.(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
                                                  Flora akipongezwa na mwanawe George
                                   Flora akipongezwa na mmoja wa wanawe wa kike
                                                       Ni furaha tupu siku hiyo
 Flora akiwa katika picha ya pmoja na familia yake
 Meneja wa kinywaji cha Redds cha Kampuni ya Bia Tanzania, Vick Kimaro (kushoto) ambaye ni mwanawe na Flora akiwa na ndungu zake
Flora akiwa katika picha ya pamoja na wanachuo wenzie aliomaliza nao chuo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI