Halima: Nilinyoa nywele kuwaunga mkono wenye saratani
Alisema
“Ninawaarika wananchi wenzangu kuungana nami katika kampeini ya
kuchangia waathirika wa saratani. Wakati nilipokuwa kwenye semina
nilipatwa na majonzi baada ya kuwaona wagonjwa walioathirika na saratani
hivyo nikaamua kukata nywele zangu.”.
LAGOS, Nigeria
MWIGIZAJI wa kike wa Nollywood, Halima Abubakar amesema
kwamba kwa sasa amechukua uamuzi wa kunyoa nywele zake zote kwa nia ya kuwaunga
mkono wagon jwa walioathiriwa na maradhi ya saratani.
Akizungumzia sababu ya kunyoa nywele zake hizo kwa kupitia
mtandao wa www.naijagists.com alisema
kwamba ameamua kufanya hivyo kama sehemu ya mchango wake wa kuhangaikia
kutafuta nywele kama wanavyohangaika wagonjwa wa saratani wa nchini hapa.
Comments