Halima: Nilinyoa nywele kuwaunga mkono wenye saratani


Alisema “Ninawaarika wananchi wenzangu kuungana nami katika kampeini ya kuchangia waathirika wa saratani. Wakati nilipokuwa kwenye semina nilipatwa na majonzi baada ya kuwaona wagonjwa walioathirika na saratani hivyo nikaamua kukata nywele zangu.”.

LAGOS, Nigeria

MWIGIZAJI wa kike wa Nollywood, Halima Abubakar amesema kwamba kwa sasa amechukua uamuzi wa kunyoa nywele zake zote kwa nia ya kuwaunga mkono wagon jwa walioathiriwa na maradhi ya saratani.

Akizungumzia sababu ya kunyoa nywele zake hizo kwa kupitia mtandao wa www.naijagists.com alisema kwamba ameamua kufanya hivyo kama sehemu ya mchango wake wa kuhangaikia kutafuta nywele kama wanavyohangaika wagonjwa wa saratani wa nchini hapa.

Alisema “Ninawaarika wananchi wenzangu kuungana nami katika kampeini ya kuchangia waathirika wa saratani. Wakati nilipokuwa kwenye semina nilipatwa na majonzi baada ya kuwaona wagonjwa walioathirika na saratani hivyo nikaamua kuka

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA