Afisa Biashara wa Vodacom Tanzania Ezekiel Nungwi,akitoa maelezo ya huduma za fedha kupitia mtandao huo wakati wa  mkutano wa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi (Mobile Money Summit) ulioanza jijini Dar es Salaam jana.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi (Mobile Money Summit) ulioanza jijini Dar es Salaam jana,wakiangalia vipeperushi kwenye banda la Vodacom Tanzania.
Mfanyakazi wa Vodacom Irene Salim(kushoto) akitoa maelezo ya simu za mkononi kwa washiriki wa mkutano wa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi (Mobile Money Summit) ulioanza jijini Dar es Salaam jana,wa pili kushoto ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*