JENERALI WAITARA AHAMASISHA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Mlezi na Mshiriki wa Kupanda Mlima Kilimanjaro, safari ijulikanayo kama 'Annual Kilimanjaro Climb,  Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jeneral mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), George Waitara, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu safari hiyo itakayowashirikisha Wabunge, Wanajeshi na wananchi wa kawaida, itaanza Disemba 6 na kufika kileleni mwa mlima huo Disemba 9, ambayo ni siku ya  maadhimisho ya Jamhuri na Uhuru wa Tanzania. Kushoto ni mmoja wa wadhamini wa safari hiyo, Balozi Charles Sanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA