JENERALI WAITARA AHAMASISHA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

Mlezi na Mshiriki wa Kupanda Mlima Kilimanjaro, safari ijulikanayo kama 'Annual Kilimanjaro Climb,  Mkuu wa Majeshi mstaafu, Jeneral mstaafu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), George Waitara, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam jana, kuhusu safari hiyo itakayowashirikisha Wabunge, Wanajeshi na wananchi wa kawaida, itaanza Disemba 6 na kufika kileleni mwa mlima huo Disemba 9, ambayo ni siku ya  maadhimisho ya Jamhuri na Uhuru wa Tanzania. Kushoto ni mmoja wa wadhamini wa safari hiyo, Balozi Charles Sanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.