JINSI WAISLAMU WALIVYODHIBITIWA KUINGIA MAHAKAMA YA KISUTU LEO

 Baadhi ya waislamu wakilalamika mbele ya askari waliokuwa wakilinda doria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo asubuhi, wakitaka Katibu wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Sheikh Issa Ponda, achiwe kwa dhamana. Ponda amerejeshwa tena rumande baada ya yeye na washitakiwa wenzie 49 kunyimwa dhamana katika ya kula njama ya kutenda kosa, wizi na uchochezi.
 Wakiita Takbiii kuhamasishana
 Polisi akiwasihi waondoke
 Kikosi Maalum cha Magereza
 Askari wakiwa tayari kukabiliana na vurugu hizo
 Kikosi cha mbwa kilikuwepo
 Baadhi ya ndugu na jamaa wa washitakiwa wakiingia huku wakisachiwa mlangoni

Kikosi cha farasi kilikuwepo. (picha zote na kassimu mbarouk)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.