Baadhi ya waislamu wakilalamika mbele ya askari waliokuwa wakilinda doria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo asubuhi, wakitaka Katibu wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Sheikh Issa Ponda, achiwe kwa dhamana. Ponda amerejeshwa tena rumande baada ya yeye na washitakiwa wenzie 49 kunyimwa dhamana katika ya kula njama ya kutenda kosa, wizi na uchochezi.
Wakiita Takbiii kuhamasishana
Polisi akiwasihi waondoke
Kikosi Maalum cha Magereza
Askari wakiwa tayari kukabiliana na vurugu hizo
Kikosi cha mbwa kilikuwepo
Baadhi ya ndugu na jamaa wa washitakiwa wakiingia huku wakisachiwa mlangoni
Kikosi cha farasi kilikuwepo. (picha zote na kassimu mbarouk)
Wakiita Takbiii kuhamasishana
Polisi akiwasihi waondoke
Kikosi Maalum cha Magereza
Askari wakiwa tayari kukabiliana na vurugu hizo
Kikosi cha mbwa kilikuwepo
Baadhi ya ndugu na jamaa wa washitakiwa wakiingia huku wakisachiwa mlangoni
Kikosi cha farasi kilikuwepo. (picha zote na kassimu mbarouk)
Comments