JINSI WAISLAMU WALIVYODHIBITIWA KUINGIA MAHAKAMA YA KISUTU LEO

 Baadhi ya waislamu wakilalamika mbele ya askari waliokuwa wakilinda doria katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam leo asubuhi, wakitaka Katibu wa Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu Sheikh Issa Ponda, achiwe kwa dhamana. Ponda amerejeshwa tena rumande baada ya yeye na washitakiwa wenzie 49 kunyimwa dhamana katika ya kula njama ya kutenda kosa, wizi na uchochezi.
 Wakiita Takbiii kuhamasishana
 Polisi akiwasihi waondoke
 Kikosi Maalum cha Magereza
 Askari wakiwa tayari kukabiliana na vurugu hizo
 Kikosi cha mbwa kilikuwepo
 Baadhi ya ndugu na jamaa wa washitakiwa wakiingia huku wakisachiwa mlangoni

Kikosi cha farasi kilikuwepo. (picha zote na kassimu mbarouk)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA