Kamanda
wa Polisi kikosi cha usalama barabarani Tanzania,SACP Mohamed Mpinga
Afunga mafunzo ya waendesha pikipiki yaliyofanyika chuo cha ufundi
stadi-VETA Chang'ombe jijini Dar es Salaam
Mgeni
rasmi,Kamanda wa Polisi kikosi cha usalama barabarani Tanzania,SACP
Mohamed Mpinga akimkabidhi cheti kwa mmoja wa wahitimu ya mafunzo ya
waendesha piki piki yaliyofanyika chuo cha ufundi stadi-VETA Chang'ombe
jijini jana.Vijana wapatao 301 kutoka Temeke walipewa vyeti
Kamanda
Mpinga akiongea na wahitimu, L to R ACP Missime RPC Temeke, Yakub Rajab
TDA, Mkurugenzi manispaa temeke,M/kiti Bodi ya ushauri, Mkuu wa chuo
cha VETA, ACP Kahatano Traffic Kuu.
Mkurugenzi
Manispaa ya Temeke Mama Nyalile akiwaasa bodaboda, L to R
kamanda Mpinga, M/kiti wa wa bodi ya ushauri ya chuo Nd. Marealle, Mkuu
wa chuo cha VETA Nd. Ng'andu
Onyesho la Mishikaki ambapo waendesha piki piki hap wameapa kutopakia abiria zaidi ya mmoja.
Wahitimu hao wakiserebuka kidogo
Wahitimu wa mafunzo ya uendeshaji boda boda wakifuatilia kwa makini yaliyokuwa yakijiri kwenye hafla hiyo.
Waendesha piki piki wakila kiapo cha utii.Picha zote na Kamanda wa Polisi kikosi cha usalama barabarani Tanzania,SACP Mohamed Mpinga - CO Traffic
Comments