Mratibu wa Kitaifa wa Shirika la Wanawake katika Sheria na Maendeleo Afrika (WiLDAF), Dk. Judith Odunga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam, kuhusu maandalizi ya Kampeni ya Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia Duniani. Kulia ni Mkurugenzi wa Kituo cha Msaada wa Sheria kwa Wanawake (WLAC), Theodosia Nshala. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Ofisa wa Programu wa WilDAF, Anna Kalaya akiafafanua jambo katika nmkutano huo
Wanahabari wakiwa makini na kazi yao wakati wa mkutano huo
Ofisa wa Programu wa WilDAF, Anna Kalaya akiafafanua jambo katika nmkutano huo
Wanahabari wakiwa makini na kazi yao wakati wa mkutano huo
Comments