KINANA ATUA TABORA KWA MUDA AKITOKEA RUKWA KWENDA GEITA ASUBUHI HII


 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akikaribishwa na Mkuu wa mkoa wa Tabora, Fatma Mwassa baada ya kutua kwa muda mkoani hapo akiwa njiani kutoka Rukwa kwenda Geita asubuhi hii. pamoja naye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye, Katibu wa  NEC Oganaizesheni Muhammed Seif Khatib na Naibu Waziri TAMISEMI Aggrey Mwanri
 Kinana akimsalimia Mkuu wa wilaya ya Uyui Lucy Mayenga baada ya kutua kwa muda mkoani Tabora. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Fatma Mwasa
Mwassa bakitoa maelezo kwa Katibu Mkuu kwenye chumba cha mapumziko. Kinana akipumzika hapo kwa dakika 30 kabla ya kuondoka kwenda Geita kuendelea na ziara ya kikazi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA