KINANA ATUA TABORA KWA MUDA AKITOKEA RUKWA KWENDA GEITA ASUBUHI HII
Kinana akimsalimia Mkuu wa wilaya ya Uyui Lucy Mayenga baada ya kutua kwa muda mkoani Tabora. Kushoto ni Mkuu wa mkoa wa Tabora Fatma Mwasa
Mwassa bakitoa maelezo kwa Katibu Mkuu kwenye chumba cha mapumziko. Kinana akipumzika hapo kwa dakika 30 kabla ya kuondoka kwenda Geita kuendelea na ziara ya kikazi
Comments