KIVULE VETERAN YAICHABANGA TBC1 MABAO 2-1

 Wachezaji wa timu ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1) wakimbana mchezaji wa Kivule Veteran katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Misitu, Kivule, Ukonga, Dar es Salaam hivi karibuni. Kivule iliisambaratisha TBC1 MABAO 2-1. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)
                                        Kikosi cha Kivule Veterani kilichocuana na TBC1
                                     Kikosi cha TBC1 kilichofungwa na Kivule Veteran
Mchezaji Nico Ngogo (kulia) wa Kivule Veterani akimtoka mchezaji wa TBC1 katika mtanange huo uliofanyika hivi kariabuni Kivule.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.