Wachezaji wa timu ya Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC1) wakimbana mchezaji wa Kivule Veteran katika mchezo wa kirafiki uliofanyika kwenye Uwanja wa Shule ya Sekondari Misitu, Kivule, Ukonga, Dar es Salaam hivi karibuni. Kivule iliisambaratisha TBC1 MABAO 2-1. (PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA)
Kikosi cha Kivule Veterani kilichocuana na TBC1
Kikosi cha TBC1 kilichofungwa na Kivule Veteran
Mchezaji Nico Ngogo (kulia) wa Kivule Veterani akimtoka mchezaji wa TBC1 katika mtanange huo uliofanyika hivi kariabuni Kivule.
Kikosi cha Kivule Veterani kilichocuana na TBC1
Kikosi cha TBC1 kilichofungwa na Kivule Veteran
Mchezaji Nico Ngogo (kulia) wa Kivule Veterani akimtoka mchezaji wa TBC1 katika mtanange huo uliofanyika hivi kariabuni Kivule.
Comments