Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar: Malindi yararua Duma 2- 0

Mshambuliaji wa Malindi Abdallah Abbas (kulia) akituliza mpira mbele ya mlinzi wa Duma, Mohamed Omar Mussa, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan mjini Zanzibar Novemba 08.2012. Malindi ilirarua Duma 2-0.

Mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas (kulia) akichuana vikali na mlinzi wa Duma, Mohamed Omar Mussa kwenye uwanja wa Amaan.


Mlinzi wa timu ya Duma, Mohamed Omar Mussa (kushoto) akipambana na mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar, uwanja wa Amaan.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*