Ligi Kuu ya Grand Malt Zanzibar: Malindi yararua Duma 2- 0

Mshambuliaji wa Malindi Abdallah Abbas (kulia) akituliza mpira mbele ya mlinzi wa Duma, Mohamed Omar Mussa, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar kwenye uwanja wa Amaan mjini Zanzibar Novemba 08.2012. Malindi ilirarua Duma 2-0.

Mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas (kulia) akichuana vikali na mlinzi wa Duma, Mohamed Omar Mussa kwenye uwanja wa Amaan.


Mlinzi wa timu ya Duma, Mohamed Omar Mussa (kushoto) akipambana na mshambuliaji wa Malindi, Abdallah Abbas, ligi kuu ya Grand Malt ya Zanzibar, uwanja wa Amaan.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA