LUTENI JENERALI MSTAAFU ABDULRAHMANI SHIMBO AFANYIWA SHEREHE YA KUMUAGA LEO.

Luteni Jenerali Mstaafu Abdulrahmani Shimbo (aliyesimama kwenye gari) akisindikizwa na Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiwa ni kuhitimisha sherehe za kumuaga rasmi zilizofanyika leo kwenye kambi ya Jeshi hilo Mgulani jijini Dar es Salaam. Luteni Jenerali Mstaafu Shimbo amelitumikia Jesshi hilo kwa zaidi ya miaka 41 kwenye nyadhifa mbalimbali ikiwa ni pamoja na Ukuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi.
Askari wa kikosi Cha Bendera kutoka Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakitoa heshima kwa mwendo wa haraka mbele ya Luteni Jenerali Mstaafu Abdulrahmani Shimbo (hayupo pichani) wakati wa sherehe za kumuaga zilizofanyika leo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA