MAHAFALI YA TATU YA CHUO KIKUU CHA DODOMA YANAENDELEA KUFANYIKA CHUONI HAPO.

Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Dodoma kitivo Cha Sayansi ya Jamii, Sanaa na Lugha cha Chuo hicho wakiwa kwenye harakati za kupiga picha na ndugu jamaa na marafiki kwaajili ya kuweka kumbukumbu kwenye mahafali ya tatu ya Chuo hicho yanayoendelea kufanyika Chuoni hapo, mchana huu kwenye viwanja hivyo vya Chimwaga.
Baadhi ya wanafunzi wa fani mbalimbali wakiwa kwenye maeneo ya majengo ya Chuo hicho kupiga picha za ukumbusho na wapendwa wao.
Harakati za hapa na pale kwenye viwanja vya Chimwaga leo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.