MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA WAMPOGEZA JK, SEKRETARIETI
Thursday, November 15, 2012
MAMBO HAYA SI MCHEZO: Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigella anaonekana ndovyo alivyokuwa akisema, wakati alipokuwa kibadilishana mawazo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakati wa hafla hiyo.
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akibadilishana mawazo na wasaidizi wake, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdurahman Kinana wakati wa hafla hiyo.
Baadhi ya wanachama wa CCM waliohudhuria hafla hiyo, wakishangilia
Wasanii wakitumbuiza ngoma ya Kigogo wakati wa hafla hiyo. (Picha zote na Bashir Nkoromo)
Comments