MAKAO MAKUU YA CCM DODOMA WAMPOGEZA JK, SEKRETARIETI

Thursday, November 15, 2012
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiwasili kwenye viwanja vya Ofisi za Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo, katika hafla fupi ya kumpongeza kwa kuchaguliwa tena kuwa Mwenyekiti wa Chama, juzi. Kushoto ni Mama Salma Kikwete, Katibu Mkuu wa CCM  Abdulrahman Kinana na wanne ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba.
 MAMBO HAYA SI MCHEZO: Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigella anaonekana ndovyo alivyokuwa akisema, wakati alipokuwa kibadilishana mawazo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Mwigulu Nchemba na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakati wa hafla hiyo.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, akibadilishana mawazo na wasaidizi wake, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdurahman Kinana wakati wa hafla hiyo.
 Baadhi ya wanachama wa CCM waliohudhuria hafla hiyo, wakishangilia
Wasanii wakitumbuiza ngoma ya Kigogo wakati wa hafla hiyo. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA