Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
Dkt. Emmanuel Humba akitoa maelezo kuhusu huduma za Mfuko Taifa wa Bima ya Afya
kwa Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Pius Msekwa Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE)
Dkt. Agrey Mlimuka akiwasilisha mada kuhusu huduma za Hifadhi ya Jamii Nchini
kwa Waheshimiwa Wabunge
Katibu Mkuu wa TUCTA Ndg. Hezron Kaaya akitoa mada
kwa Wabunge kuhusu Mtizamo wa Hifadhi ya Jamii kwa upande wa Wafanyakazi
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii
Bi. Irene Isaka akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Sekta ya
Hifadhi ya Jamii Nchini.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akifuatilia maelezo
ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Irene Isaka
(Hayupo Pichani) alipokuwa akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu
Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya
Fedha na Uchumi Mhe. Andrew Chenge pamoja na Waziri wa Kazi na ajira Mhe.
Gaudensia Kabaka
Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti
wa Mifuko ya Jamii Bi. Sara Msika akishiriki semina hiyo
Wadau kutoka Mifuko ya Jamii wakifuatilia mada hizo
Waheshimiwa wabunge wakifuatilia mada katika semina
hiyo.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge
Comments