Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Dkt. Emmanuel Humba akitoa maelezo kuhusu huduma za Mfuko Taifa wa Bima ya Afya kwa Waheshimiwa Wabunge katika Ukumbi wa Pius Msekwa Dodoma
Mkurugenzi Mkuu wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) Dkt. Agrey Mlimuka akiwasilisha mada kuhusu huduma za Hifadhi ya Jamii Nchini kwa Waheshimiwa Wabunge
Katibu Mkuu wa TUCTA Ndg. Hezron Kaaya akitoa mada kwa Wabunge kuhusu Mtizamo wa Hifadhi ya Jamii kwa upande wa Wafanyakazi
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Irene Isaka akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini.
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akifuatilia maelezo ya Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Irene Isaka (Hayupo Pichani) alipokuwa akiwasilisha maada kwa Waheshimiwa Wabunge kuhusu Sekta ya Hifadhi ya Jamii Nchini. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Fedha na Uchumi Mhe. Andrew Chenge pamoja na Waziri wa Kazi na ajira Mhe. Gaudensia Kabaka
Mkuu wa Habari na Mawasiliano wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mifuko ya Jamii Bi. Sara Msika akishiriki semina hiyo
Wadau kutoka Mifuko ya Jamii wakifuatilia mada hizo
Waheshimiwa wabunge wakifuatilia mada katika semina hiyo.Picha na Owen Mwandumbya wa Bunge

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA