MARANDA NA FARIJALA WAHUKUMIWA KIFUNGO JELA
Shaban Maranda na Farijala Hussein wakitoka katika Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo baada ya kuhukumiwa kifungo cha
kwenda jela, ambapo Maranda amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na
Farijala miaka mitatu jela baada ya kupatikana na kosa la kughushi na
kuisababishia serikali hasara ya sh. bilion 3.8. (Picha na Habari Mseto
Blog)
Shaban Maranda na Farijala Hussein wakipanda karandika la Jeshi la
Magereza kuendelea kutumikia vifungo vyao baada ya kuhukumiwa na
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Maranda
amehukumiwa na mahakama hiyo kifungo cha miaka miwili na Farijala miaka
mitatu baada ya kupatikana na kosa la kughushi na kuisababishia serikali
hasara ya sh. bilion 3.8
Comments