MARANDA NA FARIJALA WAHUKUMIWA KIFUNGO JELA

 Shaban Maranda na Farijala Hussein wakitoka katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo baada ya kuhukumiwa kifungo cha kwenda jela, ambapo Maranda amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na Farijala miaka mitatu jela baada ya kupatikana na kosa la kughushi na kuisababishia serikali hasara ya sh. bilion 3.8. (Picha na Habari Mseto Blog)
Shaban Maranda na Farijala Hussein wakipanda karandika la Jeshi la Magereza kuendelea kutumikia vifungo vyao baada ya kuhukumiwa na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam. Maranda amehukumiwa na mahakama hiyo kifungo cha miaka miwili na Farijala miaka mitatu baada ya kupatikana na kosa la kughushi na kuisababishia serikali hasara ya sh. bilion 3.8

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.