Mheshimiwa Naibu Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza Chabaka Kilumanga na Bi Irene Joel Wanameremeta
Bi harusi akila pozi.
Wanandoa wapya Mr & Mrs Kilumanga.
Maharusi wakifungua mziki.
Mh Chabaka akimlisha mkewe Irene keki.
Bwana na Bibi Chabaka baada ya kufunga ndoa.
Wakati wa kuvishana pete.
Maharusi wakikabidhiwa cheti cha ndoa.
Familia mpya ya Mr & Mrs Chabaka Kilumanga.
Maharusi katika picha ya pamoja upande wa familia. Kutoka Kulia ni
Mama wa Bwana harusi Kilumanga, Maharusi, Mama Irene na Dada wa bwana
Harusi Marium.
---
Salam,
Urban
Pulse Creative inawaletea taswira ya harusi ya Mh Naibu balozi wetu wa
Uingereza Chabaka Kilumanga aliefunga ndoa rasmi na mchumba wake Irene
Joel siku ya jumamosi tarehe 24.11.12 hapa jijini London. Ndugu, jamaa
na warafiki walihudhuria sherehe hii ambayo ilifana sana.
Tunapenda kuwatakia kila la kheri katika safari yao mpya walioianza katika maisha ya ndoa.
Mungu azidi kuwabariki,
Asanteni.
Urban Pulse Creative
Comments