Bi harusi akila pozi.
Wanandoa wapya Mr & Mrs Kilumanga.
Maharusi wakifungua mziki.
Mh Chabaka akimlisha mkewe Irene keki.
Bwana na Bibi Chabaka baada ya kufunga ndoa.
Wakati wa kuvishana pete.
Maharusi wakikabidhiwa cheti cha ndoa.
Familia mpya ya Mr & Mrs Chabaka Kilumanga.
Maharusi katika picha ya pamoja upande wa familia. Kutoka Kulia ni Mama wa Bwana harusi Kilumanga, Maharusi, Mama Irene na Dada wa bwana Harusi Marium.
---
Salam,

Urban Pulse Creative inawaletea taswira ya harusi ya Mh Naibu balozi wetu wa Uingereza Chabaka Kilumanga aliefunga ndoa  rasmi na mchumba wake Irene Joel siku ya jumamosi tarehe 24.11.12 hapa jijini London.  Ndugu, jamaa na warafiki walihudhuria sherehe hii ambayo ilifana sana.

Tunapenda kuwatakia kila la kheri katika safari yao mpya walioianza katika maisha ya ndoa. 

Mungu azidi kuwabariki,

Asanteni.

Urban Pulse Creative

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.