MKE WA MBUNGE WA WAWI HAMADI RASHID MOHAMED AMEFARIKI DUNIA USIKU HUU.

Taarifa zilizoifikia blog hii usiku huuzinaeleza kuwa Mke wa Mbunge wa Wawi Hamad Rashid Mohamed pichani, Bi Kissa, amefariki dunia usiku huu kwenye hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa. Taarifa zaidi tutaendelea kuwaletea kwa kadri zitakavyo tufikia.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA