MREMBO ANAESHIKILIA TAJI LA MISS UNIVERSE TANZANIA AKABIDHIWA BENDERA NA BASATA LEO JIJINI DAR ES SALAAM, Mashindano kuunguruma Disemba 19 nchini Marekani.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini(BASATA) Ghonche Materego(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa Mrembo wa Tanzania anaeshikilia taji la Miss Universe Winfrida Dominic, kwenye ofisi za Baraza hilo jijini Dar es Salaam leo, mrembo huyo anaiwakilisha Tanzania kwenye fainali za mashindano hayo nchini Marekani yanayotarajiwa kufanyika December 19 mwaka huu.

Mrembo huyo akizungumza na katibu mtendaji wa Basata kabla ya kukabidhiwa bendera hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA