MREMBO ANAESHIKILIA TAJI LA MISS UNIVERSE TANZANIA AKABIDHIWA BENDERA NA BASATA LEO JIJINI DAR ES SALAAM, Mashindano kuunguruma Disemba 19 nchini Marekani.

Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa nchini(BASATA) Ghonche Materego(kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa Mrembo wa Tanzania anaeshikilia taji la Miss Universe Winfrida Dominic, kwenye ofisi za Baraza hilo jijini Dar es Salaam leo, mrembo huyo anaiwakilisha Tanzania kwenye fainali za mashindano hayo nchini Marekani yanayotarajiwa kufanyika December 19 mwaka huu.

Mrembo huyo akizungumza na katibu mtendaji wa Basata kabla ya kukabidhiwa bendera hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA