Mwanamke anayetuhumiwa kumtesa kumlisha kinyesi na kumchoma moto mtoto wa kaka yake kumfungia ndani, amepandishwa kizimbani kwa mara ya pili katika mahakama ya Wilaya ya Mbeya kujibu shtaka linalomkabili.

Mtuhumiwa Wilvina Mkandala (24)
Hataki kabisa kuonyesha sura yake

Aneth akiwa na wazazi wake mahakamani jana
Akirudishwa tena rumande mpaka tena tarehe 27/11

Baadhi ya akina mama wakiwa nje ya mahamaka wakisubiria kumwona mama huyo mwenye roho mbaya
Akina mama hao wakiwa na hasira kali walisikika wakisema tuachieni kidogo tumfunze adabu

MWANAMKE
anayetuhumiwa kumtesa kumlisha kinyesi na kumchoma moto  mtoto wa kaka  yake  kumfungia ndani,  amepandishwa    kizimbani kwa mara ya pili    katika mahakama ya Wilaya ya Mbeya kujibu
shtaka linalomkabili.
Mwendesha
mashtaka wa Serikali, Achiles Mulisa ameileza  Mahakama kuwa Mtuhumiwa Wilvina Mkandala (24)
Mkazi wa Majengo jijini humo  alitenda kosa la kusababisha majeraha akiwa
na nia ovu ambayo imemsababishia ulemavu mtoto  Aneth Gasto (4).
Mulisa
akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo Gilbert
Ndeuruo amesema kosa hilo ni kinyume cha kanuni ya adhabu kifungu  cha
222(a) sura ya 16 kama ilivyorejewa mwaka 2002.
 Kutokana na hali hiyo
mwendasha mashitaka huyo ameileza mahakama kuwa kesi inayo mkabili mwanamke
huyo ilihitaji mashahidi sita   ambao ni Dactari aliye mfanyia upasuaji mtoto
huyo   mwenyekiti wa Mtaa na barozi wake pamoja na Askari
mpelelezi wa kesi hiyo na mtoto mwenye .
 
Amesema
teyari mashahidi wanne kati ya sita wamekwisha toa ushahidi wao mahakani hapo .
Kutokana
na kosa hilo mshtakiwa amekana shitaka hilo ambapo alirudishwa mahabusu hadi
Novemba 27 Mwaka huu kesi hiyo itakapotajwa tena.
Amesema
upande wa Jamhuri unamashahidi wanne ambao watatu kati yao teyari wamekwsha toa
ushahidi wao katika mahakama hiyo .
  
Amewataja
mashahidi hao kuwa ni Mwenyekiti wa Mtaa wa Majengo Shuku Mwakanyamale, Daktari
anayemtibu mhanga katika Hospitali ya Rufaa ya Mbeya Dr. Paul Kasubi  na Habiba Mwakanyamale .
Wengine
ni Askari Polisi aliyepeleza kesi hiyo WP Pudensia na Mtoto mwenyewe  ambao wako tayari kufika mahakamani na kutoa
ushahidi wao mbele ya mahakama.
Awali
mshatakiwqa huyo aliieleza mahakama kuwa na uhusiano na mtoto  huyo ambapo
pia alikiri kuwa na taarifa za kile kinachoendelea juu ya matibabu ya mtoto huyo
na kuhusu kukatwa kwa mkono wake wa kushoto na kufungwa bandeji ngumu(POP)
kwenye mkono uliobaki

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA