MWENYEKITI WA CCM RAIS KIKWETE AKAGUA KIWANJA CHA MAKAO MAKUU YA CHAMA, UKARABATI WA KUMBI ZA MIKUTANO DODOMA


 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo juu ya ukarabati wa ukumbi wa mikutano wa 'White House' ulio katika makao makuu ya CCM mjini Dodoma ambao unafanyiwa ukarabati mkubwa ili kukidhi mahitaji ya sasa. Rais Kikwete alisimama kwa muda mjini Dodoma siku ya Jumanne Novemba 6, 2012 akitoka katika ziara ya kikazi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja. PICHA NA IKULU
 Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua maandalizi ya ukumbi utaotumika wakati wa mkutano Mkuu wa CCM ulio kitongoji cha Kizota mjini Dodoma. Rais Kikwete alisimama kwa muda mjini Dodoma siku ya Jumanne Novemba 6, 2012 akitoka katika ziara ya kikazi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja.
 Mafundi rangi wakiwa kazini kuweka mambo sawa nje ukumbi utaotumika wakati wa mkutano Mkuu wa CCM ulio kitongoji cha Kizota mjini Dodoma
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Rais Jakaya Mrisho Kikwete na viongiozi wengine wakipata maelezo toka kwa Katibu Mkuu wa CCM Bw. Wilson Mukama juu ya maandalizi ya ujenzi wa makao makuu na vitega uchumi wa chama hicho mjini Dodoma ambako alisimama kwa muda siku ya Jumanne Novemba 6, 2012 akitoka katika ziara ya kikazi mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Manyara na Singida alikokagua jumla ya miradi 19 ndani ya wiki moja.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU