Katibu wa NMB Business Club jijini Mwanza, Magreth Onduru (kushoto) akipokea cheti cha kuhudhuria semina kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola wakati wa wa kuhitimisha semina hiyo hiyo jijini mwanza juzi. Akishuhudia ni Mkuu wa kitengo cha wajasiriamali wadogo, wa kati na SACCOS, Filbert Mponzi (kulia), Meneja wa NMB tawi la Regional Drive, Julius Bruno na Meneja wa NMB tawi la Kenyatta, Mathias Nkullua. (NA MPIGAPICHA WETU)
Katibu wa NMB Business Club jijini Mwanza, Magreth Onduru (kushoto) akipokea cheti cha kuhudhuria semina kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa, Straton Chilongola wakati wa wa kuhitimisha semina hiyo hiyo jijini mwanza juzi. Akishuhudia ni Mkuu wa kitengo cha wajasiriamali wadogo, wa kati na SACCOS, Filbert Mponzi (kulia), Meneja wa NMB tawi la Regional Drive, Julius Bruno na Meneja wa NMB tawi la Kenyatta, Mathias Nkullua. (NA MPIGAPICHA WETU)
Comments