Mtalaamu Mwelekezi wa Taasisi ya Bico ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Abdalah Chungu akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mradi wa ujenzi wa kitegauchumi cha Jeshi la Polisi na nyumba 350 za jeshi hilo.Ujenzi wa Kitegauchumi hicho utafanywa na Kampuni ya Mara Group Ltd ya Uganda eneo la polisi lililopo Namanga, Oysterbay, Dar es Salaam. Kushoto ni Msemaji wa jeshi hilo, Advela Senso.Picha ya chini anayeonekana kulia ni Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga.
MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA
1. Wahiraki, Hawa ni wanawake wa jamii ya Wahiraki wa napatikana kaskazini mwa Tanzania wamezagaa mikoa ya manyara ni weupe Wana Umbo zuri wanavutia kwa Macho. 2. Warangi, Hawa ni wanawake jamii ya Warangi ni wazuri nywele zao ni asili ya waraabu weupe sura nzuri wanapatikana kondoa. 3. Wanyiramba. Hawa ni warembo Sana sura matata wanapatikana mkoa wa singida kaskazini, usipokua makini utawafananisha na wanyaturu 4. Wamasai, kabila hili wanawake wazuri sio wengi Sana lakini ukikutana na sampuli Tatu au nne hivi utauza hata boxa kuongezea mahari wamezagaa Sana Arusha 5. Wahaya, hawa nao ni jamii ya Kanda ya ziwa maumbile Yao Kuna weupe miguu Yao ya bia shape matata wamejaa Sana bukoba. 6. Wanyaturu, Hawa wanafanana na Wanyiramba wanapatikana singida hasa ikungi na manyoni weupe wanavutia 7. Wapare, Hii ni jamii ya kabila la Wapare wanapatikana moshi wilaya ya same wako vizuri usicheze kabisa na hili kabila shape nzuri. 8 .Wamakonde, ...
Comments