POLISI KUJENGEWA NYUMBA 350 NA KITEGAUCHUMI OYSTERBAY

 Mtalaamu Mwelekezi wa Taasisi ya Bico ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk. Abdalah Chungu akifafanua jambo katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, kuhusu mradi wa ujenzi wa kitegauchumi cha Jeshi la Polisi na nyumba 350 za jeshi hilo.Ujenzi wa  Kitegauchumi hicho utafanywa na Kampuni ya Mara Group Ltd ya Uganda eneo la polisi lililopo Namanga, Oysterbay, Dar es Salaam. Kushoto ni Msemaji wa jeshi hilo, Advela Senso.Picha ya chini anayeonekana kulia ni Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA