RAIS KIKWETE APONGEZWA NA CCM MKOA WA DODOMA, ATEMBELEA MRADI WA ZABIBU
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya
Mrisho Kikwete akihutubia umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa
hafla ya kumpongeza kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa
CCM. Hafla hii imefanyika makao makuu ya CCM Dodoma.
Meza kuu ikifurahia wimbo wa kuisifu CCM kwenye hafla hiyo.
umati wa wana CCM wa mkoa wa
Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya
Mrisho Kikwete kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya
Mrisho Kikwete akiongozana na viongozi wengine wakati alopotembelea
Mradi wa Zabibu,Mjini Dodoma.PICHA NA IKULU
Comments