RAIS KIKWETE APONGEZWA NA CCM MKOA WA DODOMA, ATEMBELEA MRADI WA ZABIBU

Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM. Hafla hii imefanyika makao makuu ya CCM Dodoma.
Meza kuu ikifurahia wimbo wa kuisifu CCM kwenye hafla hiyo.
umati wa wana CCM wa mkoa wa Dodoma walioandaa hafla ya kumpongeza Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete kwa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa CCM.
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongozana na viongozi wengine wakati alopotembelea Mradi wa Zabibu,Mjini Dodoma.PICHA NA IKULU

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*