RAIS KIKWETE AZINDUA UJENZI WA BOMBA LA GESI ASILIA KUTOKA MTWARA-DAR ES SALAAM
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akizindua rasmi ujenzi wa bomba la gesi asilia
toka Mtwara hadi Dar es salaam leo Novemba 8, 2012 maeneno ya Kinyerezi
njijini Dar es salaam. Nyuma yake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib
Bilali. Picha na Ikulu
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete na Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na
viongozi wengine wakimsikiliza Waziri wa Nishati na Madini Profesa
Sospeter Muhongo miundombinu ya bomba la gesi asilia toka Mtwara hadi
Dar es salaam leo Novemba 8, 2012 maeneno ya Kinyerezi njijini Dar es
salaam. Nyuma yake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali.
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na ujumbe wa kampuni inayojenga bomba la
gesi asilia kutoka Mtwata hadi Dar es salaam, Benki ya Exim ya China na
viongozi waandamizi wa serikali alipowakaribisha Ikulu kwa mazungumzo baada ya uzinduzi rasmi wa ujenzi wa bomba hilo maeneo ya Kinyerezi jijini Dar es salaam
Comments