RAIS WA ZANZIBAR AONDOKA NCHINI KUELEKEA VIETNAM KIKAZI.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, pamoja na Viongozi wengine wa Vyama na Serikali, kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar leo, akielekea Nchini Vietnam kwa ziara rasmi ya Kiserikali, katika ziara hiyo Rais amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein, pamoja na Mawaziri na Maofisa  mbali mbali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakiagana na wazee  vyama vya siasa na Maofisa mbali mbali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar,katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,akielekea Nchini Vietnam kwa ziara rasmi ya Kiserikali.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.