TANESCO MKOA WA TEMEKE WAKATAMATA WATU WALIO JIUNGIA UMEME KWA KUTUMIA VISHOKA HIVYO KUHATARISHA MAISHA YA WATU



Meneja wa Tanesco mkoa wa temeke Eng Richard Malamia akiwa na plani ofisa wake Ceslia Msangi wakiangalia nguzo ambayo haina sifa ya kusambazia umeme ambayo imewekwa na vishoka katika maeneo ya mbagala chamazi kwamusoma eng Malamia alifanya ukaguzi katika maeneo ya mbagala akishirikiana na watalamu wake baada yakupata malamiko yakuwepo kwa upungufu wa umeme katika maeneo ya chamazi hivyo alibaini kulikuwepo na watu walio jiunganishia umeme visivyo halali. Picha na Chris Mfinanga

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.