TANZANIA IKO TAYARI KUPELEKA JESHI DRC CONGO KUWAFURUMUSHA WAASI WA M23

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, Kuhusu Serikali ya Tanzania kulaani kitendo cha Waasi wa M23 kuteka Mji wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Pia Tanzania iko tayari kupeleka jeshi nchini  Congo kulisaidia Jeshi la nchi hiyo kuwafurumusha waasi hao. Kulia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, John Haule. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Wanahabari wakiwa makini na kazi yao wakati wa mkutano huo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.