Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, Kuhusu Serikali ya Tanzania kulaani kitendo cha Waasi wa M23 kuteka Mji wa Goma katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Pia Tanzania iko tayari kupeleka jeshi nchini Congo kulisaidia Jeshi la nchi hiyo kuwafurumusha waasi hao. Kulia ni Katibu Mkuu wa wizara hiyo, John Haule. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Wanahabari wakiwa makini na kazi yao wakati wa mkutano huo
Wanahabari wakiwa makini na kazi yao wakati wa mkutano huo
Comments