Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka akifunua pazia ikiwa ni ishara ya uzinduzi wa ujenzi wa nyumba 48 za kuuza za Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Ilala Mchikichini, Dar es Salaam jana.Anayeongoza kupiga makofi kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC, Nehemia Mchechu. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kulia), akimkaribisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Tibaijuka kuzindua mradi huo.
Waziri Tibaijuka akihutubiwa wakati wa hafla hiyo
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli akihutubia
Profesa Tibaijuka akikagua ujenzi huo
Moja ya majengo yanayojengwa eneo hilo
Baadhi ya wageni waalikwa
Baadhi ya majengo yanayoendelea kujengwa eneo hilo
Profesa Tibaijuka akiwa na menejimenti ya NHC
Mwenyekiti wa Wabunge wa CCM Mkoa wa Dar es Salaam, Abbas Mtemvu (kulia), akimkaribisha Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Tibaijuka kuzindua mradi huo.
Waziri Tibaijuka akihutubiwa wakati wa hafla hiyo
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli akihutubia
Profesa Tibaijuka akikagua ujenzi huo
Moja ya majengo yanayojengwa eneo hilo
Baadhi ya wageni waalikwa
Baadhi ya majengo yanayoendelea kujengwa eneo hilo
Profesa Tibaijuka akiwa na menejimenti ya NHC
Comments