Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Andrew Hodgson (Kushoto) akiwa na washindi watatu wa shindano la Tigo Reach For Change, Brenda Shuma, Nyabange Chirimi na Thadei Msumanje baada ya kuwakabidhi zawadi zao, Dar es Salaam, Kulia ni Mkurugenzi wa Reach For Change, Sarah Damber. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Andrew Hodgson (Kushoto) akiwa na mmoja wa wajasiliamali aliyeshinda shindano la Tigo Reach For Change, Bi. Brenda D. Shuma pamoja na Mkurugenzi wa Reach For Change Sarah Damber.
Mmoja wa wajasiliamali aliyeshinda shindano la Tigo Reach For Change, Bi. Brenda D. Shuma akielezea jambo kwa waandishi wa Habari.
Meneja wa Tigo, kitengo cha huduma za Jamii Woinde Sishael akifafanua jambo
Wadau wakifuatilia kwa umakini.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Tigo, Andrew Hodgson (Kushoto) akiwa na mmoja wa wajasiliamali aliyeshinda shindano la Tigo Reach For Change, Bi. Brenda D. Shuma pamoja na Mkurugenzi wa Reach For Change Sarah Damber.
Mmoja wa wajasiliamali aliyeshinda shindano la Tigo Reach For Change, Bi. Brenda D. Shuma akielezea jambo kwa waandishi wa Habari.
Meneja wa Tigo, kitengo cha huduma za Jamii Woinde Sishael akifafanua jambo
Wadau wakifuatilia kwa umakini.
Comments