TRAVELPORT YAUNGANA NA PRECISION AIR YAJA NA HUDUMA MPYA KWA WATEJA

 Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew akizungumza wakati wa semina ya siku moja kuhusu teknolojia mpya ya kuuza tiketi kwa kutumia simu ya mkononi iliyofanyika jijini Dar es Salaam, pamoja na kukuza ushirikiano wa kibiashara na Shirika la Precision Air na kuhudhuriwa na mawakala wa mashirika ya ndege jijini Dar es Salaam
 Mwakilishi wa kampuni ya Wakala wa Ndege ya  Tan Travel, , Paul Walden akichangia mada katika semina hiyo
 Wadu wakifuatilia mada
 Baadhi ya wafanyakazi wa Precision Air walioshiriki semina hiyo wakiwa katika picha ya pamoja
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew akiwatambulisha baadhi ya wafanyakazi wa wa kampuni hiyo. 

 Kaimu Meneja wa Taifa wa Mauzo wa Precision Air, Ibrahim Bukenya akimkabidhi tiketi ya ndege mwakilishi wa kampuni ya uwakala wa ndege ya Moon Travel, Amina Saleh

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA