TRAVELPORT YAUNGANA NA PRECISION AIR YAJA NA HUDUMA MPYA KWA WATEJA
Meneja
Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew
akizungumza wakati wa semina ya siku moja kuhusu teknolojia mpya ya
kuuza tiketi kwa kutumia simu ya mkononi iliyofanyika jijini Dar es
Salaam, pamoja na kukuza
ushirikiano wa kibiashara na Shirika la Precision Air na kuhudhuriwa na
mawakala wa mashirika ya ndege jijini Dar es Salaam
Mwakilishi wa kampuni ya Wakala wa Ndege ya Tan Travel, , Paul Walden akichangia mada katika semina hiyo
Wadu wakifuatilia mada
Baadhi ya wafanyakazi wa Precision Air walioshiriki semina hiyo wakiwa katika picha ya pamoja
Meneja Mkuu wa Kampuni ya Travelport, Eliasaph Mathew akiwatambulisha baadhi ya wafanyakazi wa wa kampuni hiyo.
Kaimu Meneja wa Taifa wa Mauzo wa Precision Air, Ibrahim Bukenya
akimkabidhi tiketi ya ndege mwakilishi wa kampuni ya uwakala wa ndege ya
Moon Travel, Amina Saleh
Comments