TUME YA HAKI ZA BINADAMU (THBUB) YAZITAKA TAASISI ZINAZOSIMAMIA SHERIA KUZINGATIA HAKI
Mwenyekiti
wa Tume Ya Haki za Binaadamu na Utawala Bora Jaji Kiongozi (Mstaafu)
Amiri Ramadhan Manento kulia na Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa Tume
hiyo Mahfoudha Hamid
DAR ES SALAAM, Tanzania
Gambishi alisema kimsingi mradi huo una malengo makuu sita ambayo yatatekelezwa kwa kupitia mkakati wa Kati.
Akiyataja baadhi maeneo hayo, kuwa ni pamoja na Mfumo bora wa sheria kitaifa: lengo hilo linasimamiwa na Tume ya kurekebisha sheria nchini kwa kushirikiana na taasisi nyingine washirika. Haki za Binadamu na usimamizi wa haki hili linasimamiwa na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora na upatikanaji wa haki kwa walio na uwezo mdogohilo linasimamiwa na Taasisi zisizo za Kiserikali (NGO’S), mfano mmoja ni Chama cha Wana Sheria Nchini (TLS). Naye Kaimu Mkurugenzi wa Sheria, Reginald Makoko, alisema bado Watanzania wengi wanakabiliwa na uwelewa mdogo wa sheria hali inayowafanya baadhi yao kupoteza haki zao. Hata hivyo, tatizo hilo kwa sasa limepungua kutokana kuwepo kwa vyama vyama vya kisheria ambavyo vinatoa msada wa kisheria bure , malalamiko mengi kuwasilishwa huko.
Comments