Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Usu Mallya akizungumza katika tamasha hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Usu
Mallya(kushoto) akiwa na mwenyeji wake Diwani wa Kata ya Mkambarani,
Daniel Shawa (CCM)
Kutoka kushoto ni Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi.
Usu Mallya akiwa na Diwani wa Kata ya Mkambarani, Daniel Shawa (CCM)
wakizungumza katika tamasha hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP), Bi. Usu Mallya akijumuika kucheza ngoma.
Comments