UZINDUZI WA WINDHOEK PREMIUM LAGER EXTRA BONGO WAZEE WA KIZIGO WAFUNIKA, Waacha gumzo Mbagala.

Mwanamuziki wa bendi ya Extra Bongo Banza Stone akifanya kile kinachohitajika na mashabiki huku akiwa na wanenguaji wa bendi hiyo.
Alichoki akifanya makamuzi kwenye kinanda wakati waliposhushaburudani kwenye uzinduzi huo.
Mashabiki wa Bendi hiyo nao walifuatgilia kwa karibu buruidani iliyokuwa akiporomoshwa na bendi hiyo.
Wanenguaji nao waliburudisha kiukweli hakukua na mchezo kwenye uzinduzi huo.
Mashabiki wa Banza nao walishindwa kutulia kwenye viti na kupanda jukwaani.
Hapo sasaaaaaa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.