Wadau waendelea kutoa msaada kwa mtoto Aneth,ambaye alikatwa mkono kwa kuchomwa !‏


Mdau akikabidhi zawadi au msaada wa nguo kwa mtoto Aneth, ambapo zilipokelewa na mama yake mzazi, mdau Claudia Haule akimpa pole mtoto Aneth na pia mama yake kwa kuuguza, ambapo pia jamii ya watanzania wameombwa kutoa misaada ya hali na mali kwa mtoto huyu katika kipindi hiki kigumu!

Picha na Mdau Mbeya yetu Blog
4

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.