Wadau waendelea kutoa msaada kwa mtoto Aneth,ambaye alikatwa mkono kwa kuchomwa !
Mdau
akikabidhi zawadi au msaada wa nguo kwa mtoto Aneth, ambapo
zilipokelewa na mama yake mzazi, mdau Claudia Haule akimpa pole mtoto
Aneth na pia mama yake kwa kuuguza, ambapo pia jamii ya watanzania
wameombwa kutoa misaada ya hali na mali kwa mtoto huyu katika kipindi
hiki kigumu!
Picha na Mdau Mbeya yetu Blog
Comments