VODACOM WAMWAGA MIKOPO YA MILIONI 17 BUIGIRI DODOMA

 Mwanachama wa kikundi cha Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani Dodoma, Diria Yaledi Mtumwa (kushoto) akipokea fedha ikiwa ni mkopo unaotolewa na kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom kwa kupitia mpango wake wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Mikopo ya jumla ya kiasi cha zaidi ya Sh. Milioni 17 ilitolewa kwa wanawake wa Buigiri na kukabidhiwa na Meneja wa Vodacom Foundation, Grace Lyon (kulia) huku Afisa wa Vodacom Ally Mbuyu (wa pili akishuhudia). Makabidhiano hayo ya awamu ya pili ya mikopo ya MWEI yalifanyika kijijini Buigiri mkoani Dodoma leo
 Mwanachama wa kikundi cha Upendo katika kijiji cha Buigiri mkoani Dodoma, Diria Yaledi Mtumwa (kushoto) akionesha fedha za mkopo alizokabidhiwa na kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom kwa kupitia Mpango wa Uwezeshaji kwa Wanawake kwa njia ya M-Pesa (MWEI). Zaidi ya Sh. Milioni 17  zilitolewa kwa wanawake wa kijiji cha Buigiri, mkoani Dodoma leo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.