WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA MOI WATEMBELEA MAANDALIZI YA UJENZI WA JENGO LA GHOROFA

 Mkurugenzi wa Huduma za Ufundi wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI), Mhandisi Reginald Kimambo akiwaonesha wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa taasisi hiyo, ramani ya ujenzi wa jengo la ghorofa saba walipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi huo, Dar es Salaam leo. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
                         Wajumbe wakielekea kuangalia eneo patakapojengwa jenmgo hilo
                                                                    Wajumbe wakinagalia ramani
 Wafanyakazi wa MOI wakielekea sehemu ya kiwanja
                                                          Wakiangalia sehemu ya uwanja huo
                                                         Sehemu ya kiwanja hicho
                                                                                   Maandalizi

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

GSM ARIDHIA UJENZI WA UWANJA WA YANGA JANGWANI

WACHEZAJI YANGA WAGOMA KABISA KUFANYA MAZOEZI LEO, LWANDAMINA AIBUKA PEKE YAKE SHAMBA LA BIBI

DKT. MAJULE AMFANYIA MAPOKEZI MAKUBWA BALOZI WA CHINA NCHINI

IJUE HISTORIA YA PACOME ZOUZOUA

Kizza Besigye ‘akamatwa’ tena Uganda

Wasifu wa Kizza Besigye

HERSI KWENDA KUSOMA TENA CHUO KIKUU CHA OXFORD UINGEREZA