Mkurugenzi wa Uwezeshaji Wananwake wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA), Tabu Likoko akiwahamasisha wanawake wa Umoja wa Vikundi vya kuweka na Kukopa (UVIMA), wakati wa hafla ya wanachama wa wa umoja huo kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Majohe, Ilala, Dar es Salaam leo.
Ofisa Mawasiliano na Elimu kwa Umma wa NHIF, Grace Kisinga (kushoto), akiwaelekeza Lwiza Libanja (kulia) na Rose Furaha, jinsi ya kujaza fomu ya kujiunga na mfuko huo.
Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa NHIF, Luhende Singu akigawa kalamu kwa wanachama wa Uvima.
Meneja Uanachama wa NHIF, Ellenntruda Mbogoro akiwaelekeza wana Uvima jinsi ya kujaza fomu za uanachama wa kujiunga na mfuko huo.
Mwenyekiti wa Muungano wa vikundi vya kuweka na kukopa (UVIMA), Tatu Mgao (kulia), akitoa shukurani kwa WAMA na NHIF kuwawezesha wanachama wa umoja huo kujiunga na masuala ya matibabu ya mfuko huo. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF), Athuman Rehani, Mkurugenzi wa Operesheni wa NHIF, Eugen Mikongoti na Mkurugenzi wa Uwezeshaji Wanawake wa WAMA, Tabu Likoko.
Wanachama wa Uvima wakishangilia baada ya kutangaziwa na uongozi wa NHIF , wamekubaliwa kujiunga na mfuko huo ambapo watakaonufaika kwa kulipia ada ya sh. 10,600 kwa mwezi ni watu sita, ambao ni mama, baba na watoto wao wanne.
Ofisa Mawasiliano na Elimu kwa Umma wa NHIF, Grace Kisinga (kushoto), akiwaelekeza Lwiza Libanja (kulia) na Rose Furaha, jinsi ya kujaza fomu ya kujiunga na mfuko huo.
Ofisa Mawasiliano Mwandamizi wa NHIF, Luhende Singu akigawa kalamu kwa wanachama wa Uvima.
Meneja Uanachama wa NHIF, Ellenntruda Mbogoro akiwaelekeza wana Uvima jinsi ya kujaza fomu za uanachama wa kujiunga na mfuko huo.
Baadhi ya wanachama wa Uvima wakiandikishwa kujiunga na mfuko huo. |
Wanachama wa Uvima wakishangilia baada ya kutangaziwa na uongozi wa NHIF , wamekubaliwa kujiunga na mfuko huo ambapo watakaonufaika kwa kulipia ada ya sh. 10,600 kwa mwezi ni watu sita, ambao ni mama, baba na watoto wao wanne.
Comments