WATEJA WA TIGO PESA KUZAWADIWA MUDA WA MAONGEZI

Meneja Mauzo na Usambazaji wa Kitengo cha Tigo Pesa cha Kampuni ya Tigo, Goodluck Charles akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, Dar es Salaam, kuhusu uzinduzi wa promosheni itakayomuwezesha mteja atakayetuma fedha kwa Tigo Pesa na kuzawadiwa muda wa maongezi. Kulia ni Ofisa Uhusiano wa kampuni hiyo, Tully Mwaikenda. (PICHA NA RICHARD MWAIKENDA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI