WAZIRI MWAKYEMBE AFANYA ZIARA YA KUSHITUKIZA TRENI YA ABIRIA DAR

 Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (aliyevaa pama katikati) akihojiana na abiria alipofanya ukaguzi ywa kushitukiza katika Stesheni ya TRL, Dar es Salaam leo kujionea matatizo yaliyojitokeza baada ya usafiri wa abiria jijini  kuanzishwa wiki hii.
 Mwakyembe akitoa maelekezo
Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (kushoto),akimwelekeza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Mhandisi Kipallo Kisamfu, wakati alipofanya ziara ya kushitukiza Stesheni ya Reli hiyo Dar es Salaam leo jioni, kujionea changamoto zilizopo baada ya kuanza kwa safari za treni hiyo ya abiria kutoka katikati ya Jiji hadi Ubungo Maziwa.(PICHA NA DOTTO MWAIBALAE)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA