Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (aliyevaa pama katikati) akihojiana na abiria alipofanya ukaguzi ywa kushitukiza katika Stesheni ya TRL, Dar es Salaam leo kujionea matatizo yaliyojitokeza baada ya usafiri wa abiria jijini kuanzishwa wiki hii.
Mwakyembe akitoa maelekezo
Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (kushoto),akimwelekeza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Mhandisi Kipallo Kisamfu, wakati alipofanya ziara ya kushitukiza Stesheni ya Reli hiyo Dar es Salaam leo jioni, kujionea changamoto zilizopo baada ya kuanza kwa safari za treni hiyo ya abiria kutoka katikati ya Jiji hadi Ubungo Maziwa.(PICHA NA DOTTO MWAIBALAE)
Mwakyembe akitoa maelekezo
Waziri wa Uchukuzi Dk.Harrison Mwakyembe (kushoto),akimwelekeza jambo Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), Mhandisi Kipallo Kisamfu, wakati alipofanya ziara ya kushitukiza Stesheni ya Reli hiyo Dar es Salaam leo jioni, kujionea changamoto zilizopo baada ya kuanza kwa safari za treni hiyo ya abiria kutoka katikati ya Jiji hadi Ubungo Maziwa.(PICHA NA DOTTO MWAIBALAE)
Comments