ZIARA YA MABALOZI WA UMOJA WA ULAYA BANDARINI JIJINI DAR ES SALAAM.

Meneja Uendeshaji wa Mamlako ya Bandari Tanzania (TPA) Patrick Namahuta, akiwapa maelezo ya namna bandari inavyofanyakazi mabalozi wa umoja wa Ulaya wakati walipotembelea bandari hiyo jana wakiongozwa na waziri wa Uchukuzi Dk. Aharrison Mwakyembe.
Mabalozi wakiwa pamoja na wawakilishi wa wafanyabiashara wakiwa kwenye jengo la kupumzikia abiria wa usafiri wa meli wa kwenda Zanzibar kwa kampuni ya Azam Marine.
Waziri Mwakyembe akiuliza maswali na kupata maelezo kwenye mashine maalum ya kukagua tiketi.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*