0 Comments

NSSF YAWAPA SEMINA VIONGOZI WA SACCOS DAR ES SALAAM

Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crecentius Magori  akifafanua jambo wakati wa semina iliyoandaliwa na shirika hilo kwa viongozi wa Mkoa wa DaresSalam. Kulia ni Meneja Utawala wa Kampuni ya Sccuct, Nicholaus  Wambura ambao ndio waratibu wa semina hiyo.
Mwakilishi wa Saccos ya Ukonga, David Marwa akizungumza wakati wa semina hiyo.
Mwakilishi wa Saccos ya Kinondoni
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crecentius Magori  akifafanua jambo wakati wa semina iliyoandaliwa na shirika hilo kwa viongozi wa Saccos mkoa wa Dar es Salaama. Wa pili kulia ni Meneja wa Kumbukumbu na Takwimu wa NSSF, Shabaan Mpendu.
Ofisa wa NSSF akitoa mada katika semina hiyo.
Ofisa Mwandamizi wa Kitengo cha Sekyta isiyo rasmi NSSF, Sami Khalfan.
Ofisa wa NSSF akitoa mada katika semina.
Wafanyakazi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii wa,kiwa katika semina hiyo.
Baadhi ya viongozi wa Saccos Mkoa wa Dar es Salaam wakiwa katika semina hiyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.