DIAMOND PLATINUM APAGAWISHA WAKAZI WA A-TOWN

 Msanii wa kizazi kipya ajulikanaye kwa jina la Nasib Abudul(diamond Platinum)akiwapa burudani wa kazi wa jiji la Arusha katika shoo yake iliodhaminiwa na kituo cha radio 5 ndani ya  klabu ya safari iliopo ndani ya ukumbi wa jengo la sundown cornival lililopo nje kidogo ya jiji la Arusha
warembo wakichat wakati burudani ikiendelea
 wadawa nao wanajua kutunza uyu mdada yeye alipenda wimbo wa kizai zai wa diamond akaamua kwenda kumtunza kabisa

 Msanii diamond akiwapagawisha mashabiki wa Arusha waliouthuria katika show
Mashabiki wa diamond wakitamani kupigwa ata Kiss na msanii huyo 
 Ma dance wanaotikisa Tanzania kutoka Arusha Contegeous waliokuwepo katika show hiyo wakiburudisha
 Baadhi ya wadada waliokuja kutazama show wakimfurahia msanii daimond
 Wakwanza kutoka kulia ni mkurugenzi wa mwandago investiment akifuatiwa na meneja masoko wa K-vant Gin Godluck kwayu,meneja wa sigara kanda ya kaskazini jina halijaweza fahamika mara moja akifuatiwa na meneja wa TBL nao waliudhuria katika show ya diamond platinum

Diamond Akicheza na mshabiki wake baada ya kushuka stage

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU