*DKT. ASHA ROSE MIGIRO AFANYA ZIARA WILAYA MPYA YA BUHINGWE KIGOMA
Katibu
wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha-Rose Migiro (pili
kulia) akiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Buhigwe,Ndg. Gishuli Mbegesi
Charles (kushoto) kupita kwenye njia mbovu yenye tope kuelekea kwenye
eneo la mpaka wa Tanzania na Burundi unaotenganishwa na sehemu ya Mto
Maragarasi, wakati akiwa katika ziara yake ya ziara wilaya mpya ya Buhigwe Mkoani Kigoma, jana.
Katibu
wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt. Asha-Rose Migiro akicheza
ngoma ya asili ya kabila la Waha sambamba na Bibi Buchiro Edmas Kapin
Comments