DROGBA APATA MAPOKEZI MAKUBWA UTURUKI WALIPOKUWA YANGA


MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Ivory Coast, Didier Drogba amepata mapokezi mazuri alipowasili Istanbul alipokubali kujiunga na Galatasaray ya Uturki katika uhamisho wa Januari.
Kiungo wa zamani wa Inter Milan, Wesley Sneijder alipata mapokezi kama hayo alipowasili Uturuki mwezi uliopita na Drogba ameamua kumfuata Mholanzi huyo akiondoka Shanghai Shenhua ya China.
Nahodha huyo wa Ivory Coast alichelewa kuwasili kwenye timu hiyo kwa sababu ya Fainali za Mataifa ya Afrika.
Mobbed: Didier Drogba is surrounded by photographers after arriving in Istanbul
Didier Drogba akiwa amezungukwa na wapiga picha baada ya kuwasili Istanbul
New chapter: Didier Drogba held up a Galatasaray flag after arriving in Istanbul this afternoon
Didier Drogba akiwa ameshika bendera ya Galatasaray baada ya kuwasili Istanbul mchana wa leo
Unveiled: Drogba holds up a scarf with his name emblazoned across
Drogba akiwa ameshika scarf yenye jina lake
Barricade: Police hold back baying fans who push to see their new hero Drogba
Polisi walilazimika kufanya kazi ya ziada kuwadhibiti mashabiki waliopagawa na Drogba
Warm welcome: Drogba received a similar reception to Wesley Sneijder after he arrived in Turkey last month
Drogba alipata mapokezi sawa na aliyopata Wesley Sneijder alipowasili Uturuki mwezi uliopita
Frenzy: Galatasaray fans hold up a flag in tribute for the striker after his arrival at Ataturk Airport
Frenzy: Galatasaray fans hold up a flag in tribute for the striker after his arrival at Ataturk Airport
'Nina furaha sana kuwa hapa, kwangu ni changamoto mpya, sehemu mpya katika maisha yangu. Nitafanya mazuri ili kupata mafanikio katika klabu hii.'
Drogba ataungana na Emmanuel Eboue, ambaye alijiunga na klabu hiyo bingwa ya Uturuki akitokea Arsenal mwaka 2011.
Mshambuliaji mwingine wa zamani wa Chelsea, ambaye alitoka Stamford Bridge kwenda China, Nicolas Anelka amerejea Ulaya.
Nicolas Anelka alijiunga na Shenhua Januari mwaka jana, lakini ameamua kujiunga na vigogo wa Italia, Juventus, akikamilisha uhamisho wake kwa mabingwa hao wa Serie A mwezi uliopita.
Hero's welcome: Wesley Sneijder was paraded in the city after his arrival at the same airport last month
Wesley Sneijder naye alipata mapokezi makubwa
Flare up: The fans were out in full force for the Dutch international's arrival from Inter Milan
mashabiki waliojitokeza kumpokea kiungo huyo kutoka Inter Milan
In the mix: Wesley Sneijder has already made the switch from Inter Milan to Galatasaray
Wesley Sneijder tayari amekwishaanza kazi Galatasaray

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*