JUST IN: BASI LA TWIGA LILILOKUWA LINATOKA MBEYA KUELEKEA DAR LANUSURIKA KUWAKA MOTO ASUBUHI HII MAENEO YA CHIMALA, SHUHUDIA

 Basi la Twiga Likiwa Limeanza Kuwaka Moto muda mchache uliopita
Basi la Twiga Likiwa Limesimama na Moto kuwahi kuzimwa Muda Mchache baada ya kutaka kuungua
*********************************
Katika hali ambayo haikudhaniwa asubuhi hii Basi la Twiga International Coach ambalo Lilikuwa linatoka Mbeya kuelekea Dar es salaam, Limetaka kuungua moto maeneo Chimala , hata hivyo juhudi la kuzima moto huo ambao ulianza kuwaka kwa kasi zimefanikiwa.

Abiria wote wametoka salama hakuna ambaye amepatwa na tatizo lolote lile, Abiria wote wamehamishiwa katika basi Jengine ambalo ni Sky Line na wanaendelea na safari yao salama.

PICHA NA MBEYA YETU BLOG

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.