JUST IN: BASI LA TWIGA LILILOKUWA LINATOKA MBEYA KUELEKEA DAR LANUSURIKA KUWAKA MOTO ASUBUHI HII MAENEO YA CHIMALA, SHUHUDIA
Basi la Twiga Likiwa Limeanza Kuwaka Moto muda mchache uliopita
Basi la Twiga Likiwa Limesimama na Moto kuwahi kuzimwa Muda Mchache baada ya kutaka kuungua
*********************************
Katika
hali ambayo haikudhaniwa asubuhi hii Basi la Twiga International Coach
ambalo Lilikuwa linatoka Mbeya kuelekea Dar es salaam, Limetaka kuungua
moto maeneo Chimala , hata hivyo juhudi la kuzima moto huo ambao ulianza
kuwaka kwa kasi zimefanikiwa.
Abiria
wote wametoka salama hakuna ambaye amepatwa na tatizo lolote lile,
Abiria wote wamehamishiwa katika basi Jengine ambalo ni Sky Line na
wanaendelea na safari yao salama.
PICHA NA MBEYA YETU BLOG
Comments