KIKWETE AKAGUA UJENZI DARAJA LA MARAGARASI KIGOMA

 Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wananchi wa Uvinza mkoani Kigoma wakati akiwa njiani kwenda kukagua ujenzi wa daraja la Kikwete kwenye mto Maragarasi mkoani humo leo mchana
 Wananchi na wafanyakazi wa kampuni ya Hanil Engeneering ya Korea wakimsubiri Rais Kikwete kwenye ifisi ya mradi wa ujenzi wa barabara hiyo.
 Rais Jakaya Kikwete akimsalimia Waziri wa Kilimo na Chakula Injinia Christopher Chiza baada ya kuwasili kwenye Ofisi za mradi wa ujenzi wa Daraja la Kikwete kwenye mto Maragarasi mkoani Kigoma. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kasulu Danih Makanga
 Rais Kikwete akiwasalimia wafanyakazi wa kampuni ya Hanil ya Korea. Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Khadija Nyembo na wapili ni DC wa Kasulu Danih Makanga.
Meneja Mradi wa Ujenzi dsaraja la Kikwete katika mto Maragarasi mkoani Kigoma, Crispinas Ako (aliyevyoosha mkono) akimpatia maelezo Rais Jakaya Kikwete kuhusu maendeleo ya ujenzi wa mradi huo alipotembelea leo
 Daraja linalotumiwa na treni kwenye mto Maragarasi ambako pembeni yake ndiko linalojengwa litakalotumiwa na magari kutoka Tabora kwenda Kigoma
 Rais Jakaya Kikwete (kushoto) akikagua ujenzi wa darala la Kikwete kwenye mto Maragarasi mkoani Kigoma leo.
 Msafara wa Rais Kikwete ukipita kwenye darala la Kikwete ambalo ujenzi wake unaedelea kwenye mto Maragarasi mkoani Kigoma
Rais Kikwete akizungumza na wananchi wa Maragalasi baada ya kukagua ujenzi wa daraja la Kikwete katika mto Maragalasi leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI