Maonyesho ya filamu za Afrika yaanza

Tuzo ya Stallion of Yennenga inayotolewa kwenye maonyesho ya Ouagadougou
Maonyesho ya filamu mia kadha kutoka sehemu mbali-mbali za Afrika na Wafrika walioko ng'ambo, zitaoneshwa katika tamasha kubwa ya utamaduni wa Afrika ambayo inaanza Burkina Faso Jumamosi.
Maonyesho hayo ya Panafrican Film and Television Festival ya Ouagadougou (FESPACO) yanafanywa kila baada ya miaka miwili.
Tuzo kubwa kabisa - Stallion of Yennenga - hupewa filamu ambayo inaonesha maisha halisi kabisa ya Afrika.
Filamu 20 za habari hasa kutoka Morocco, Algeria, Angola na Senegal zinagombea tuzo hiyo.

Ingawa Misri haikujiandikisha kwenye mashindano hata hivyo itaonesha filamu ya msanii wa Misri, Khaled Sayed, iitwayo "Stories from Tahrir".

Inaangalia changamoto ambazo Wamisri wanakabili wanapogombania uhuru.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA