MATAMASHA YA GRAND MALT SAUTI ZA BUSARA YAENDELEA ZANZIBAR.

Mmoja wa kinadada wa timu ya wahudumu kwenye matamasha ya kinywaji cha Grandmalt Saut za busara akiwagawia kinywaji hicho watu waliojitokeza kwenye kwenye Matamasha ya Grand Mult Sauti za busara yanayoendelea mjini Zanzibar.
Kikundi cha Burudani cha Grand Malt kikonga nyoyo za wazanzibari wakati wa matamasha ya Grand Mult Sauti za busara yanayoendelea mjini Zanzibar.
Sehemu ya watu waliojitokeza kwenye matamasha hayo yanayoendelea visiwani humo.
Wengi wamepata fursa ya kuonja kinywaji hicho kama inavyoonekana pichani wananchi wa zanzibar wakionja.
Wakazi wa mji wa Zanzibar wakiangalia kikundi cha burudani cha Grand Malt wakati wa matamasha hayo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.