MICHUANO YA VYUO VKUU KANDA YA AFRIKA MASHARIKI YAFANA DAR

 
Mchezaji Mopelo Baraka wa timu ya Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT), akiwa amebebwa na wanafunzi wenzake baada ya kufunga vikapu vingi katika mechi ya ya mpira wa kikapu dhidi ya timu ya Chuo Kikuu cha St. Lawrence katika mashindano ya 8 ya Vyuo Vikuu Kanda ya Afrika Mashariki leo, kwenye viwanja vya Chuo kikuu cha Dar es Salaam. Baraka ni mtoto wa Mkurugenzi wa Bendi ya The African Stars 'Twanga Pepeta', Asha Baraka. (PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA)

 Kikosi cha timu ya Chuo Kikuu cha Ndejje ya Uganda kilichochuana na Moi university cha Kenya
 Moja ya hekaheka iliyotokea golini mwa timu ya Chuo Kikuu cha Kenyatta cha kenya iliyosababishwa na wachezaji wa timu ya Chuo Kikuu cha Kampala kutoka Uganda, katika mchezo wa mpira wa kikapu katika mashindano ya 8 ya Vyuo Vikuu Kanda ya Afrika Mashariki jana, kwenye viwanja vya Chuo kikuu cha Dar es Salaam.
 Moja ya hekaheka iliyotokea golini mwa timu ya Chuo Kikuu cha Kenyatta cha kenya iliyosababishwa na wachezaji wa timu ya Chuo Kikuu cha Kampala kutoka Uganda, katika mchezo wa mpira wa kikapu katika mashindano ya 8 ya Vyuo Vikuu Kanda ya Afrika Mashariki jana, kwenye viwanja vya Chuo kikuu cha Dar es Salaam.
 Kikosi cha Timu ya Chuo Kikuu cha Moi kilichochuana na Ndejje katika mchezo wa wavu
 Kocha wa Chuo Kikuu cha Ndejje cha Uganda, akitoa mawaidha kwa timu yake
 Vyuo vya Moi na Ndeje vikichuana
 Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria Tanzania wakishangilia timi yao baada ya kupata ushindi

 Mshindano ya Tai Kwondo yakiendelea
 Baadhi ya wachezaji wa Tai Kwondo wakipumzika
 Mchezaji Moreen Mwamu wa Chuo Kikuu cha Ndejje cha Uganda akiruka kupiga mpira kuelekea upande wa timu ya Chuo Kikuu cha Moi cha Kenya katika mchezo wa mpira wa wavu katika michauano ya 8 ya Vyuo Vikuu Kanda ya Afrika Mashariki jana, kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.


 Mchezo wa Tai Kwondo kwa wanawake ukiendelea


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA