MKUTANO WA SITA WA MAFUTA WAFUNGWA ARUSHA.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiufunga Mkutano wa sita wa Mafuta wa Mataifa ya Jumuia ya Afrika Mashariki uliofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Arusha kwa Niaba ya Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohammed Shein.
Makamu wa Pili wa  Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akitoka kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Arusha ( AICC ) Baada ya kufunga Mkutano wa Mafuta na Maonyesho wa Afrika Mashariki  kwa niaba ya Rais wa Zanzibar Dr. Ali Mohammed Shein. Kushoto ni Waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Mh. George Simba Chawene, (Wapili kulia)Waziri wa Nishari wa Uganda Mh. Irin Muloni na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika ya Mashariki Mheshimiwa Jesca Eriyo.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.